Thursday, November 26, 2009

Mheshimiwa Rais Kikwete na first Lady wakitalii huko Jamaica


Rais Jakaya na mkewe Salma wakibembea hewani kutalii vivutio nchini Jamaica pamoja na Waziri wa Utalii nchini humo,Edmund Barlett (kulia) na Horace Clarke, mmiliki wa bembea hilo lipitalo meta 50 hewani umbali wa kilometa mbili.

No comments:

Post a Comment